Kipumi cha Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kipumi ya Kusini)

Kipumi ya Kusini ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wapumi. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kipumi ya Kusini imehesabiwa kuwa watu 19,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipumi ya Kusini iko katika kundi la Kiqiangiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipumi cha Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.