Kiorang-Kanaq

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiorang-Kanaq ni lugha ya Kiaustronesia nchini Malaysia inayozungumzwa na Waorang-Kanaq. Mwaka wa 2008 idadi ya wasemaji wa Kiorang-Kanaq imehesabiwa kuwa watu 160 tu; maana yake lugha imekaribia kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiorang-Kanaq iko katika kundi la Kimalayiki. Wengine huiangalia kama lahaja ya Kimalay tu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiorang-Kanaq kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.