Kimanobo-Obo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kimanobo-Obo ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wamanobo. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kimanobo-Obo imehesabiwa kuwa watu 60,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimanobo-Obo iko katika kundi la Kifilipino.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimanobo-Obo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.