Klabu ya Kriketi Nakuru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kilabu ya Wanariadha Nakuru)
klabu ya kriket Nakurue


Klabu ya Kriketi Nakuru ni klabu ya michezo iliyoko Nakuru nchini Kenya. Klabu hiyo pia ina timu ya kriketi inayocheza kwenye ligi ya kriketi Rift Valley cricket league, Klabu hiyo huandaa michezo mingi ya kriketi kwa kushirikiana na shirika la Rift Valley Cricket Association XI la nchini Uingereza.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Klabu ya Kriketi Nakuru kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.