Kikupsabiny

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kikupsabiny (lugha))

Kikupsabiny ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Uganda inayozungumzwa na Wakupsabiny. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kikupsabiny imehesabiwa kuwa watu 181,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikupsabiny iko katika kundi la Kinilotiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikupsabiny kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.