Kikalinga-Mabaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kikalinga-Mabaka (pia Kikalinga ya Bonde la Mabaka) ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wakalinga. Idadi ya wasemaji wa Kikalinga-Mabaka haijulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikalinga-Mabaka iko katika kundi la Kifilipino.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikalinga-Mabaka kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.