Kihiligaynon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kihiligaynon ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wahiligaynon. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kihiligaynon imehesabiwa kuwa watu 5,770,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihiligaynon iko katika kundi la Kifilipino.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihiligaynon kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.