Kifriuli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kifurlan)

Kifriuli (kwa lugha hiyo Furlan; kwa Kiitalia Friulano) ni mojawapo ya lugha za Kirumi, tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya inayotumiwa na watu 600,000 hivi, ambao kati yao 300,000 ndiyo lugha mama yao, wakiwemo hasa Waitalia wa mkoa wa Friuli-Venezia Giulia, kaskazini mashariki mwa rasi ya Italia.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kifriuli kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.