Kian Egan
Jump to navigation
Jump to search
Kian Egan | |
---|---|
![]() Kian Egan
| |
Maelezo ya awali | |
Aina ya muziki | Pop |
Kian John Francis Egan (alizaliwa tarehe 29 Aprili 1980, Sligo, nchini Ireland ni mwimbaji katika kundi la Westlife
Masiha binasfi[hariri | hariri chanzo]
Egan alizaliwa na Patricia pampja na.Ana kaka zake watatu ambao ni Tom, Gavin na Colm, na kaka zake watatu; Marielle, Vivienne na Fenella. Amesoma katika chuo cha Summerhill iliyopo katika eneo la Sligo, ambapo hapo alikutana na wenzake Mark Feehily and Shane Filan.
Egan alimuoa mwigizaji namwimbaji, Jodi Albert, tarehe 8 Mai 2009 katika Barbados.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Official website
- One Breathe Westlife
- Westlife Forever - fansite
- Kian Egan kwenye Internet Movie Database
|