Safari 431 ya Kenya Airways

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kenya Airways Flight 431)
Kenya Airways flight 431


Kenya Airways Flight 431 ilikuwa safari ya ndege ya aina ya Airbus A310-300 ambayo ilikuwa imepangwa kimataifa katikati ya Abidjan-Lagos na Nairobi. Ndege hii ilianguka kwenye bahari karibu na pwani ya Ivory Coast, tarehe 30 Januari 2000, saa 21:09:24 GMT , muda mfupi baada ya kutoka kwa uwanja wa Kimataifa wa Felix Houphouët-Boigny.[1][2]Ilikuwa na jumla ya watu 179 huku 169 walikuwa ni abiria.[1][2][2][3][4] Hii ilikuwa ni ajali ya kwanza iliyosababisha vifo iliyokumba Kenya Airways.

Ndege[hariri | hariri chanzo]

Iliyopewa jina Harambee Star, ndege iliyohusika katika ajali ilikuwa aina ya Airbus A310-304, mkia nambari ya usajili 5Y-BEN, ilikuwa imenunuliwa ikiwa mpya na kampuni ya Kenya Airways mnamo 1986.[5][6][7]

Virejeleo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 REPORT Accident which occurred on 30 January 2000 in the sea near Abidjan Airport to the Airbus 310-304 registered 5Y-BEN operated by Kenya Airways. Bureau d'Enquêtes et d'Analyses pour la Sécurité de l'Aviation Civile. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-10-29. Iliwekwa mnamo 2011-5-20.
  2. 2.0 2.1 2.2 "Kenyan plane crashes into sea". Retrieved on 2012-08-27. Archived from the original on 2012-03-03. 
  3. "Rescuers seek more survivors of Kenya Airways crash". Retrieved on 2011-5-20. Archived from the original on 2005-05-20. 
  4. "Over 100 feared dead after Kenyan jet crash", 2000-1-31. Retrieved on 2012-08-27. Archived from the original on 2012-03-03. 
  5. WebCite query result. webcitation.org (2012). Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-03-03. Iliwekwa mnamo 27 Agosti 2012.
  6. WebCite query result. webcitation.org (2012). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-10-30. Iliwekwa mnamo 27 Agosti 2012.
  7. WebCite query result. webcitation.org (2012 [last). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-10-30. Iliwekwa mnamo 27 Agosti 2012.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]