Kars
Kars (kutoka Kiarmenia: Ղարս "Ghars" au Կարս "Kars", Kituruki cha Azerbaijani: Qars) ni mji uliopo mjini kaskazini-mashariki ya nchi ya Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Kars. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, idadi ya wakazi imefikia kiasi cha 130,361 wanaoishi mjini hapa.
Marejeo
- public domain: Chisholm, Hugh, ed. (1911). Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press. This article incorporates text from a publication now in the
- FallingRain Map - elevation = 1761m (Red dots are existing railways)
Viungo vya Nje
- Pictures of the city and the nearby city of Ani
- Kars Governor's Office
- Kars News
- Kars Guide and Photo Album by Luc Wouters
- Kars Weather Forecast Information
- Treaty of Kars
- Atlas of Conflicts: The Treaty of Kars and Its Geopolitical Implications on Armenia by Dr. Andrew Andersen, Ph.D.
- VirtualANI - A history and description of the city of Kars
- Armenian History and Presence in Kars
- 3D Model of the Cathedral
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kars kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |