Karl Lambert
Mandhari
Count Karl Karlovich Lambert (1815 – 20 Julai 1865) alikuwa Jenerali wa Jeshi la Wapanda Farasi wa Urusi na Namestnik (Mwakilishi wa Mfalme) wa Ufalme wa Poland kuanzia Agosti hadi Oktoba 1861.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Karl Lambert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |