Kamet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Kamet na milima mingine ya Uhindi, 1908

Kamet ni mlima mrefu, wenye kimo cha m 7,756 juu ya usawa wa bahari. Ni sehemu ya safu ya milima ya Himalaya.

Uko nchini India.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kamet kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.