Kaliniko na Basilisa
Mandhari
Kaliniko na Basilisa (walifariki katika mkoa wa Galatia, leo nchini Uturuki, 252) walikuwa Wakristo ambao walikatwa kichwa[1] kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[2].
Kabla ya kukamatwa walikuwa wakishirikiana kusaidia waumini waliokwishakamatwa na serikali[1].
Pengine Kaliniko anatajwa kama mwanamke, lakini si kweli[3].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao ni tarehe 22 Machi[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ 1.0 1.1 Dunbar, Agnes B.C. (1901). A Dictionary of Saintly Women. Juz. la Volume 1. London: George Bell & Sons. uk. 141.
{{cite book}}
:|volume=
has extra text (help) - ↑ The Book of Saints. London: Aeterna Press. 2015.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/46480
- ↑ Martyrologium Romanum
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |