Kalagala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya eneo la Uganda
majira nukta (00 36 47N, 32 36 56E (Latitude: 0.6130; Longitude: 32.6105))

Kalagala ni mji uliopo Uganda ya kati ikiwa ni moja ya maeneo ya mji mkuu katika Wilaya ya Luweero; miji mingine wilayani hapo ni pamoja na: Bamunanika, Bombo, Luweero, Wobulenzi na Ziroobwe.

Mahali ilipo[hariri | hariri chanzo]

Kalagala ipo takriban kilomita 15 sawa na maili 9.3 kwa barabara umbali kutokea kaskazini mashariki mwa Bombo[1] ambao ndio mji mkubwa ulio karibu. pia ipo takriban kilomita 46 sawa na maili 29 kwa barabara umbali kutokea kaskazini mashariki mwa Kampala ambalo ndio jiji kubwa zaidi nchini Uganda na mji mkuu wa nchi hiyo[2]. inapatikana kwa majira nukta (00 36 47N, 32 36 56E (Latitude: 0.6130; Longitude: 32.6105)).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]