Kālidāsa

Kālidās (Kidevanāgarī: कालिदास) alikuwa mwandishi nchini Uhindi. Aliishi mnamo mwaka 400 katika milki ya Gupta akatumia lugha ya Kisanskrit akitazamiwa kama mshairi mkuu wa lugha hiyo.
Katika mashairi na tamthiliya alitumia mapokeo ya kidini ya Kihindu.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Kalidasa: Translations of Shakuntala and Other Works by Arthur W. Ryder
- Biography of Kalidasa
- Works by Kalidasa katika Project Gutenberg
- Clay Sanskrit Library Archived 7 Julai 2019 at the Wayback Machine. publishes classical Indian literature, including the works of Kalidasa with Sanskrit facing-page text and translation. Also offers searchable corpus and downloadable materials.
- Kalidasa at The Online Library of Liberty
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kālidāsa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |