Jumba la Mtwana

Majiranukta: 3°57′00″S 39°46′00″E / 3.95°S 39.7667°E / -3.95; 39.7667
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gofu la msikiti wa kale

Jumba la Mtwana ni eneo la nchini Kenya lililoko katika pwani ya bahari ya Hindi huko Mtwapa Creek, Malindi katika kaunti ya Kilifi, kaskazini kwa Mombasa.

Eneo hilo la kihistoria na kumbukumbu za akiolojia lilianzia katika karne ya 14[1] huku vipengele vyake vikijumuisha na msikiti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

3°57′00″S 39°46′00″E / 3.95°S 39.7667°E / -3.95; 39.7667