Juliani wa Le Mans
Mandhari

Juliani wa Le Mans alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo (leo nchini Ufaransa).
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 27 Januari[1].
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Alipewa uaskofu huko Roma, Italia, katikati ya karne ya 3 akatumwa Galia kuinjilisha kabila la Wasenomani. Alipofika kwao alijivutia mioyo yao kwa huduma zake kwa maskini, wagonjwa na mayatima, mbali ya miujiza mbalimbali.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saint of the Day, January 27: Julian of Le Mans Ilihifadhiwa 29 Desemba 2019 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Catholic Online: Julian of Le Mans
- Catholic Forum: Julian of Le Mans
- San Giuliano di Le Mans
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |