Judita Vannini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Judita Vannini.

Judita Vannini (7 Julai 1859 - 23 Februari 1911) alikuwa mwanamke wa Italia kaskazini ambaye, pamoja na Luigi Tezza, alianzisha shirika la Mabinti wa Mt. Kamili kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 16 Oktoba 1994, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 13 Oktoba 2019.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.