Juan del Río Martín
Mandhari
Juan del Río Martín (14 Oktoba 1947 – 28 Januari 2021) alikuwa askofu mkuu wa Kanisa Katoliki nchini Hispania.
Alihudumu kama Askofu Mkuu wa Jeshi la Hispania kutoka mwaka 2008 hadi kifo chake mwaka 2021.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Juan del Río, nombrado obispo de Jerez". ABC (kwa Kihispania). 30 Juni 2000.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |