Nenda kwa yaliyomo

Josiah Mason

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Josiah Mason

Picha ya Mason 1870
Amezaliwa 23 Februari 1795
Mill Street, Kidderminster, England
Amekufa 16 Juni 1881

(Akiwa na miaka 86)

Nchi England
Kazi yake Mfanyabiashara ya Viwanda

Josiah Mason (23 Februari 1795 – 16 Juni 1881) alikuwa mfanyabiashara wa viwanda wa nchini Uingereza, alijihusisha na uzalishaji wa kalamu na biashara nyingine na mfadhili. Alianzisha chuo cha Sayansi cha Mason mwaka 1875 ambacho baadaye kiliitwa Chuo Kikuu cha Birmingham.[1]

  1. https://archive.today/20131017100458/http://www.birmingham.ac.uk/university/about/history/academic-history/foundation.aspx