Josephat Sinkamba Kandege

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Josephat Sinkamba Kandege (amezaliwa 6 Juni 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Chama Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kalambo kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017