Joseph Michael Mkundi
Mandhari
Joseph Michael Mkundi ni mwanasiasa Mtanzania. Alichaguliwa 2015 kuwa mbunge wa Ukerewe kwa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Mnamo Oktoba 2018 alijiuzulu uanachama huo na kuhamia chama cha CCM[1]. Amehitimu shahada ya utawala biashara kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Ilihifadhiwa 7 Juni 2020 kwenye Wayback Machine.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Mbunge wa Chadema Ukerewe atimkia CCM, gazeti la Mwananchi Thursday October 11 2018
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Joseph Michael Mkundi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |