Nenda kwa yaliyomo

Joseph Edward Troy

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joseph Edward Troy (3 Septemba 193112 Machi 2023) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Kanada. Alikuwa askofu msaidizi wa Saint John, New Brunswick kuanzia mwaka 1984 hadi 1986, kisha akawa askofu wa jimbo hilo kuanzia mwaka 1986 hadi 1997.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.