Nenda kwa yaliyomo

Josef Čapek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Josef Čapek (Matamshi ya Kicheki: [Alizaliwa 23 Machi 1887 -Alifarki Aprili 1945[1]) alikuwa msanii wa Ucheki ambaye alijulikana zaidi kama mchoraji, lakini pia alijulikana kama mwandishi na mshairi. Alibuni neno "roboti", ambalo liliingizwa katika fasihi na kaka yake, Karel Čapek.

  1. Věra Menclová; Václav Vaněk, whr. (2005). Slovník českých spisovatelů (kwa Kicheki). Prague: Libri. ku. 111–113. ISBN 80-7277-179-5.