José Luis Azcona Hermoso
Mandhari
José Luis Azcona Hermoso (28 Machi 1940 – 20 Novemba 2024) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Brazil ambaye alihudumu kama askofu wa Jimbo la Marajó kuanzia mwaka 1987 hadi 2016.
Alifariki tarehe 20 Novemba 2024, akiwa na umri wa miaka 84.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Bishop José Luis Azcona, a witness of service and evangelization, dies". Agustinos Recoletos. Iliwekwa mnamo 23 Novemba 2024.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |