Jorie Graham

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jorie Graham

Jorie Graham (amezaliwa 9 Mei 1950) ni mshairi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1996 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jorie Graham kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.