Nenda kwa yaliyomo

Jokondo wa Aosta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Jokondo katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa kuu la Aosta.

Jokondo wa Aosta (kwa Kifaransa: Joconde d'Aoste; karne ya 5 - 523 [1]) anakumbukwa kama askofu wa 3 wa mji huo wa Italia Kaskazini baada ya Grato wa Aosta [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Desemba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Joseph-Marie Henry Histoire populaire, religieuse et civile de la Vallée d'Aoste Imprimerie Marguerettaz, Aoste 1929 réédition 1967 p. 534
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/90639
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.