John Patrick Boles
Mandhari
John Patrick Boles (21 Januari 1930 – 9 Oktoba 2014) alikuwa askofu msaidizi wa Jimbo Kuu la Boston, Massachusetts, na askofu wa Kanisa Katoliki. Alikuwa pia askofu wa jimbojina la Nova Sparsa.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Bishop John Patrick Boles [Catholic-Hierarchy]". www.catholic-hierarchy.org.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |