John Obi Mikel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mikel akifanya mazoezi na timu yake ya Taifa ya Nigeria mwaka 2018 katika michuano ya Timu za Taifa

John Obi Mikel (au: John Mikel Obi au Mikel John Obi; alizaliwa tarehe 22 Aprili mwaka 1987) ni mchezaji wa soka wa Nigeria ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Uchina iitwayo Tianjin TEDA na timu ya taifa ya Nigeria.

Awali Obi mikel alicheza klabu mbalimbali za Ulaya kama vile Chelsea F.C. alipoweza kucheza kuanzia mwaka 2006 hadi mwaka 2016-17.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Obi Mikel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.