John J. McIntyre (askofu)
Mandhari
John Joseph McIntyre (alizaliwa 20 Agosti 1963) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani.
Tangu Agosti 6, 2010, amehudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Kuu la Philadelphia, Pennsylvania.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ (in en) Pope Names New Auxiliary Bishop for Philadelphia; Accepts Resignation of Auxiliary Bishop Maginnis (Press release). USCCB. https://www.usccb.org/news/2010/pope-names-new-auxiliary-bishop-philadelphia-accepts-resignation-auxiliary-bishop. Retrieved March 18, 2024.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |