John Coyne (mwandishi)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

John Coyne (alizaliwa 1937) ni mwandishi wa Marekani[1] aliyetunga vitabu zaidi ya 25 vikiwemo tamtilia kadhaa za kutisha, hadithi fupi fupi ambazo zimeweza kukusanywa ndani ya bora ya anthologies mfano Modern Master of Horror na The Year’s Best Fantasy na Horror. Alikuwa ni mtunza amani aliyepita wa kujitolea na mpenzi wa maisha yake katika Gofu, ameweza kuhariri na kuandikia vitabu vinavyojihusisha na masomo yote mawili, ikijumuisha The Caddie Who Knew Ben Hogan, The caddie Who Played With Hickory na The Caddie Who Won the Masters. Kitabu chake cha hivi karibuni ni haddithi ya kimapenzi ilinayoitwa Long Ago na Far Away[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Discovering modern horror fiction. Darrell Schweitzer. Berkeley heights, NJ: Wildside Press. 1999. ISBN 1-58715-010-7. OCLC 924531266. 
  2. King, William S. (2014-01-01). "Cwbr Author Interview: To Raise Up A Nation: John Brown, Frederick Douglass, And The Making Of A Free Country". Civil War Book Review 16 (4). ISSN 1528-6592. doi:10.31390/cwbr.16.4.05. 
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Coyne (mwandishi) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.