Joel Haikali
Mandhari
Joel Haikali ni mwongozaji wa filamu wa Namibia, mtayarishaji wa filamu, na mwandishi. Alitoa filamu yake ya kwanza, My Father's Son, mwaka wa 2011, na alitayarisha filamu fupi kadhaa, zikiwemo Differences (2008), African Cowboy (2011), na Try (2012).[1] Filamu fupi zilizotajwa hapo juu zilionyeshwa katika Alliance Française huko Swakopmund. [1] Hakali awali alikuwa mwenyekiti wa Tume ya Filamu ya Namibia. [2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- 1 2 Clarice Theys (9 Novemba 2012). "Namibia: Joël Haikali's Short Films Screening in Swakopmund". allAfrica. New Era. Iliwekwa mnamo 10 Oktoba 2019.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Namibian, The (2018-02-08). "NFC sets out 2018 mandate". The Namibian (kwa Kiingereza (Uingereza)). Iliwekwa mnamo 2024-06-03.