Jimi Hendrix
Jump to navigation
Jump to search
Jimi Hendrix | |
---|---|
![]() | |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | James Marshall Hendrix |
Amezaliwa | 27 Novemba 1942 Seattle, Marekani |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | Rapa, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi |
Ala | Sauti |
Miaka ya kazi | 1963-1970 |
Tovuti | jimihendrix.com |
Jimi Hendrix, amezaliwa kama James Marshall Hendrix (mnamo 27 Novemba 1942 - 18 Septemba 1970) alikuwa mpiga gitaa maarufu kutoka nchini Marekani. Hendrix hufikiriwa kama mwanamuziki wa kuigwa katika historia ya muziki wa rock and roll. Baada ya mafanikio yake nchini Uingereza, akaja kuwa almaarufu dunia nzima baada ya kutumbuiza katika sikukuu za muziki wa pop za Monterey kunako mwaka wa 1967.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- The Jimi Hendrix Foundation - Started by Al and Leon Hendrix Archived 2012-12-09 at Archive.today
- Official Jimi Hendrix website
- Photos of Jimi Hendrix
- Videos of Jimi Hendrix Live
- Official lyrics and drawings done by Jimi Hendrix[dead link]
- Classic Hendrix: The Ultimate Hendrix Experience The memoirs of Jimi Hendrix
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimi Hendrix kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Jamii:
- Kurasa zinazotumia marudio ya hoja katika wito wa kigezo
- Vigezo vya watu
- Webarchive template archiveis links
- All articles with dead external links
- Articles with dead external links from January 2021
- Articles with invalid date parameter in template
- Mbegu za wanamuziki wa Marekani
- Wanamuziki wa Marekani
- Waliozaliwa 1942
- Waliofariki 1970
- Wanamuziki wa Rock
- Washington