Eneo bunge la Tharaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Tharaka ni Jimbo la uchaguzi nchini Kenya. Eneo lote la Jimbo hilo liko katika Baraza la Kaunti ya Tharaka-Nithi.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1988.

wabunge[hariri | hariri chanzo]

Mwaka wa Uchaguzi Mbunge[1] Chama Vidokezo zaidi
1988 Francis Nyamu Kagwima KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Francis Nyamu Kagwima KANU
1997 Murago Cicilio Mwenda DP
2002 Francis Nyamu Kagwima Ford-Asili
2007 Alex Muthengi Mwiru PNU

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Tunyai
Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliosajiliwa
Chiakariga 3,993
Gatue 2,307
Gikingo 4,787
Kamarandi / Kamanyaki 2,608
Kanjoro 3,056
Kathangachini 1,388
Maragwa 2,060
Marimanti 2,686
Nkondi 5,622
Ntugi 2,521
Tunyai 4,682
Turima 4,480
Total 40,190
*Septemba 2005 [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]