Jimbo la Comoé

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Comoé
Jimbo la Comoé is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Comoé
Jimbo la Comoé

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 6°4′34″N 3°18′29″W / 6.07611°N 3.30806°W / 6.07611; -3.30806
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Comoé
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,203,052[1]

Jimbo la Comoé (kwa Kifaransa: District du Comoé) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko mashariki mwa nchi [1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,203,052[1].

Makao makuu yako Abengourou.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.