Jimbo Kuu la Juba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Juba (kwa Kilatini Archidioecesis Iubaensis) ni mojawapo kati ya majimbo 7 ya Kanisa Katoliki nchini Sudan Kusini na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Chini yake kuna kanda ya Kanisa yenye majimbo yafuatayo: Malakal, Rumbek, Tombura-Yambio, Torit, Wau na Yei.

Askofu mkuu wake ni Stephen Ameyu Martin Mulla.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Uongozi[hariri | hariri chanzo]

Viongozi wote wa jimbo mpaka leo wamepatikana katika shirika la Wamisionari la mtakatifu Daniel Comboni.

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

Eneo la jimbo lina kilometa mraba 25,137, ambapo kati ya wakazi 945,000 (2013) Wakatoliki ni 745,000 (sawa na 78.8%). Parokia ziko 12, mapadri ni 60 na watawa 76,

Hati rasmi za Papa kwa Kilatini[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]