Jerio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jerio (pia: Gérard, Géri, Gerius, Gerio, Girio, Roger; Lunel, leo nchini Ufaransa, 1275 hivi - Potenza Picena, Macerata, Italia, 1298) alikuwa mkaapweke kutoka ukoo wa makabaila ambaye alifariki wakati wa kutaka kuhiji Yerusalemu [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Benedikto XIV alithibitisha heshima hiyo tarehe 1 Agosti 1742.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Mei [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Alessandro Marinucci, Della vita, culto, e miracoli di S. Girio confessore Specialissimo Protettore di Monte Santo nel piceno, Roma, Gioacchino, e Gio. Giuseppe Salvioni stampatori vaticani, 1766, SBN IT\ICCU\RMLE\022224.
  • Eugenio Bompadre, Vita di San Girio comprotettore di Potenza Picena, Paoline, 1978, SBN IT\ICCU\CUB\0259064.
  • Chiesa cattolica: Congregazione delle cause dei santi, Index ac status causarum / Congregatio de causis sanctorum, Città del Vaticano, 1999, SBN IT\ICCU\UMC\0583144.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.