Jean Bernadt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jean Bernadt (née Alkin) (19 Mei, 1914 - 9 Aprili, 2011) alikuwa mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini. [1]

Alikuwa mwanachama hai wa Chama cha Communist Party of South Africa (CPSA), Congress of Democrats, na taasisi ya Federation of South African Women. Mnamo 1940 aliolewa na Himan (Himie) Bernadt na akapata watoto watatu.

Elimu [2][hariri | hariri chanzo]

1934 - Shule ya Upili ya Cape Town

1936 - Chuo Kikuu cha New York - alisoma Fasihi ya Amerika

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Archived copy. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-08-10. Iliwekwa mnamo 2017-08-10.
  2. Jean Bernadt (nee Alkin) | South African History Online. www.sahistory.org.za. Iliwekwa mnamo 2020-06-15.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jean Bernadt kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.