Jean-Samuel Raobelina
Mandhari
Jean-Samuel Raobelina (27 Juni 1928 – 30 Juni 2001) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Madagaska. Alihudumu kama askofu wa Tsiroanomandidy, mkoa ulio MadagasKA.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "2001 Rev.mus Jean Samuel Raobelina, (Episcopus Tsiroanomandidy), anno 51". www.lasalette.info. Iliwekwa mnamo 2023-03-19.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |