Nenda kwa yaliyomo

Jay Ghartey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jay Ghartey
Aina ya muziki pop
Kazi yake Mwimbaji, Mtunzi
Miaka ya kazi 2009–
Studio GH Brothers
Tovuti http://www.jayghartey.com/

Jay Ghartey (alizaliwa Kweku Gyasi Ghartey) ni mwimbaji wa muziki wa Ghana na New York, Marekani.

Yeye ameanzisha "GH Brothers" katika New York pamoja na ndugu yake Joe Ghartey.

  • 2009: "My Lady".
  • 2009: "Me Do Wo" (feat. Okyeame Kwame).
  • 2010: "Black Star".
  • 2012: "Papa".
  • 2013: "Somebody (Azozo)".
  • 2013: "My Love' (with Stay Jay).
  • 2014: "African Money" (feat. E.L and AJ Omo Alajah).

    Viungo vya nje

    [hariri | hariri chanzo]
    Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Jay Ghartey kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.