Nenda kwa yaliyomo

Jangwa la Nyiri

Jangwa la Nyiri katika ramani.

Jangwa la Nyiri (pia Nyika au Jangwa la Taru) ni jangwa linalopatikana kusini mwa Kenya, mashariki kwa ziwa Magadi na kati ya Hifadhi za Taifa za Amboseli, Tsavo West na Nairobi.

Sehemu kubwa ya kaunti ya Kajiado imo katika jangwa hilo. Ukame wake unasababishwa na Mlima Kilimanjaro.

2°23′48″S 37°15′38″E / 2.39667°S 37.26056°E / -2.39667; 37.26056