Nenda kwa yaliyomo

Jane Wanjuki Njiru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jane Wanjūki Njirū ni mwanamke mwanasiasa kutoka Kenya. Alihudumu kama Mwakilishi wa Wanawake wa Kaunti ya Embu kuanzia 2017 hadi 2022, akiwa pia mwanachama wa chama tawala cha Jubilee. Alishiriki kwenye Chaguzi za Jumla za 2017 na kushinda kiti cha Mwakilishi wa Wanawake wa Embu.[1][2]

  1. "Hon. Njiru, Jane Wanjuki | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2020-08-11.
  2. embu-admin. "About Embu County". Embu County Government (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-03-27. Iliwekwa mnamo 2020-08-12.