James Francis Mbatia
Mandhari
(Elekezwa kutoka James Fransis Mbatia)
James Francis Mbatia (amezaliwa 10 Juni 1964) ni mwanasiasa wa chama cha NCCR–Mageuzi nchini Tanzania na alikuwa mbunge wa kuteuliwa tangu 2012 halafu akachaguliwa kuwa mbunge wa Vunjo kwa mwaka 2015 – 2020.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu James Francis Mbatia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |