Jaime Pedro Gonçalves
Mandhari
Jaime Pedro Gonçalves (26 Novemba 1936 – 6 Aprili 2016) alikuwa askofu mkuu wa Kanisa Katoliki kutoka Msumbiji.
Alipadrishwa kuwa padre mnamo 1967, Gonçalves aliteuliwa kuwa askofu wa Dayosisi ya Beira ya Kanisa Katoliki la Roma, Msumbiji mwaka 1976 na aliteuliwa kuwa askofu mkuu mwaka 1984. Alistaafu mwaka 2012, na alifariki mwaka 2016.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Archdiocese of Beira Archived 2018-10-21 at the Wayback MachineKigezo:Nonspecific
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |