Nenda kwa yaliyomo

Jacobus Duivenvoorde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jacobus Duivenvoorde (15 Novemba 192816 Novemba 2011) alikuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Merauke, Indonesia.[1]

Alipadrishwa mwaka 1954 na baadaye akateuliwa kuwa askofu mwaka 1972. Alihudumu hadi alipostaafu mwaka 2004.

Alifariki dunia tarehe 16 Novemba 2011 akiwa na umri wa miaka 83.

  1. Jacobus Duienvoorde Archived Novemba 17, 2011, at the Wayback Machine
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.