Jacinda Ardern

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jacinda Ardern November 2020 (cropped).jpg

Jacinda Kate Laurell Ardern (amezaliwa 26 Julai 1980) ni mwanasiasa wa Nyuzilandi ambaye ametumikia kama waziri mkuu wa 40 wa Nyuzilandi na Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi tangu mwaka 2017.

Crystal personal.svg Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jacinda Ardern kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.