Józef Roszyński
Mandhari

Józef Roszyński (alizaliwa Agosti 18, 1962, huko Nidzica) ni kasisi wa Polandi na askofu wa Dayosisi ya Kikatoliki ya Wewak. Aliteuliwa kuwa askofu mwaka 2015.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Wewak (Diocese) [Catholic-Hierarchy]". www.catholic-hierarchy.org. Iliwekwa mnamo 2022-04-05.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |