Ithamari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ithamari (kwa Kiebrania: אִיתָמָר, ʼĪṯāmār au Itamar; maana yake "Baba wa Tamar") katika Biblia ya Kiebrania alikuwa kuhani kama mtoto wa nne na mwisho wa Aroni, kaka wa Musa.

Wazao wake walikuwa makuhani wakuu tangu wakati wa Eli hadi kwa Solomoni.

Mzao wake maarufu zaidi ni nabii Yeremia.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ithamari kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.