Nenda kwa yaliyomo

Ismail Ba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ismail Ba (alizaliwa tarehe 22 mwezi wa 5 mwaka 1974) ni mchezaji wa zamani wa soka kutoka senegal aliyekuwa akicheza nafasi ya kiungo. Akicheza katika klabu za Ugiriki, Skoda Xanthi na Aris pamoja na klabu za Kupro kama AEK Larnaca, Omonia, AEP Paphos na Atromitos Yeroskipou.[1]

  1. Benjamin Strack-Zimmermann. "Ismaël Ba (Player)". www.national-football-teams.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2026-02-05.